” kunijali MTU rahisi, lakini kumfanya mtu akujali ni vigumu, nashangaa umewezaje kunifanya nikujali.?”
Nakutakia asubuhi njema na siku njema na siku yenye baraka…
SMS.
Ukipata anaekujali heri ukatulie nae hata kama hana Mali riziki mungu ndo atoae.
SMS