60 sms za kutia moyo. Ili ufaulu
Hasa maisha ya binadamu si rahisi mno. Kwa kweli kila siku bainadamu ana jaribu sana kuhikimu mahitaji zake kila siku. Si rahisi kwa kuwa maisha imwkuwa mgumu mno. Kama vile uchumi yetu kwa mfano yanaweza kera matajo ya watu kwa hali uchumu ikiwa juu, bidhaa zikiwa juu si wote wana uwezo kupata mahitajo yao.
Kifo ni kitu kingine inaweza ogofya binadamu. Ama pia inaweza fanya mtu awe na hisis isiyofaa kama vile, nini maana ya kuishi ila tunaishi tukipanda na matatizo?. Saa zingine tunauliza ni lini matatizo yetu yatakwisha lini.
Kwa vile tunaweza sisi bindamu tunaumia kwa njia mengi. Lakini kuna maana nzuri kwa nini mbona tunafaa kuishi. Kuishi maisha ya furaha. Kuishi maisha ambao itafaidi wewe na jamii. Kuishi kumpambana kwa kuwa tu ndoto zetu tutatimia. Ikiwa una hisi moyo wako umechoka, pata nguvu kwa maneno haya yapo chini.
Jifunze kubaki kimya. Sio Kila kitu kinahitaji majibu.
Sms za kutia moyo.
Mtu anapokua katika kukata tamaa anaweza kufanya maamuzi yasiyo sahihi.
Sms za kutia moyo.
La uchungu halisahauliki.
Sms za kutia moyo.
Ikiwa unapitia mitihani migumu katika maisha halafu ukahisi mwenyezi mungu yupo kimya, kumbuka; mwalimu Huwa kimya pindi akiwa anasimamia mitihani. Usiogope
Sms za kutia moyo.
Ni dhambi kumliza kumtesa anayekumpenda kwa dhati.
Sms za kutia moyo
Heri ukose pesa mfukoni kuliko kukosa raha moyoni.
Sms za kutia moyo
Maumivu hufanya mtu abadilike Kila kitu kinabadilika pia.
Sms za kutia moyo.
One day everything will be okay.
Sms za kutia moyo
Dear God, today I woke up early. I am healthy. I am alive. I am saved! Thank you.
Sms za kutia moyo

Jifunze kukosa dhahabu hata kama ipo katika matope.
Jifunze kukosa dhahabu hata kama ipo katika matope.
Sms za kutia moyo.
Ningekua ndege kuna watu ningewanyea Kila siku
Sms za kutia moyo.
Ni vizuri kusahau jambo lilioumiza moyo wako lakini ni
Vizuri zaidi kukimbia ulichojifunza kwenye jambo hilo
Sms za kutia moyo.
Hatuwezi pamabana na changa moto zetu na fikra ambao tulikuwa nayo.
Sms za kutia moyo
Jifunze ni kama utaishi milele, ishi ni kama utakufa kesho.
Sms za kutia moyo
Ukibadilisha fikra zako, kumbuka pia kubadilisha dunia yako.
Sms za kutia moyo.
Kaa mbali na watu ambao hawakusaidi au wakufaidi.
Sms za kutia moyo.
Mafanikio si mwisho, kushindwa si ubaya. Ni nguvu ya kuendelea ndio muhimu.
Sms za kutia moyo.
Njia ya mafanikio na njia ya kushindwa yote ni kama sawa.
Sms za kutia moyo
Mafanikio inakuja kwa wale wako busy wakitafuta.
Sms za kutia moyo.

Endeleza mafanikio kutoka kwa kushindwa kwako.
Endeleza mafanikio kutoka kwa kushindwa kwako.
Sms za kutia moyo.
Usiwahi ota tu mafanikio, fanya kazi uzipate.
Sms za kutia moyo.
Mafanikio ni yale unapata uncho taka.
Sms za kutia moyo.
Isikuwe jana inachukua vitu unafanya leo.
sma za kutia moyo.
Unajifunza sana kutokana na kushindwa kuliko kufanikiwa.
Sms za kutia moyo.
Uzoefu ni mwalimu wa kweli, ni yeye wa kwanza kukupea mitihani.
Sms za kutia moyo.
Lengo ni mpangilio wa kukuweka ufikie Mafanikio zako.
sms za kutia moyo
Zingatia fikra zako kwa kazi yako.
Sms za kutia moyo.
Iwe una thibiti siku hiyo, ama hiyo siku ikuthibiti.
Sms za kutia moyo.
Ukujitahidi sana kujibadilisha kuw bora, pia mazingira yetu inakuwa bora.
Sms za kutia moyo.

Kuzingatia malengo yetu ni hatua la kwanza kubadilisha kitu haiko iwe hai.
Kuzingatia malengo yetu ni hatua la kwanza kubadilisha kitu haiko iwe hai.
Sms za kutia moyo.
Ni kuhusu maisha bora
Sms za kutia moyo
mwenye anajipa ushindi, ni mtu mwenye hodari
Sms za kutia moyo.
Mtu anaye ujasiri analeta wengi.
Sms za kutia moyo.
Siri moja ya kufaulu maishani ni kuwa tayari kuchukuwa fursa alichopewa.
Sms za kutia moyo.
Mtu anayefaulu, ni mtu anayepata faida kwa yale makosa aliye fanya.
Sms za kutia moyo.
Mtu mwenye busara ni mwenye asiyelia kwa vitu hana ila ana pata furaha kwa yale anazo.
Sms za kutia moyo
Kitu kigumu sana ni uamuzi wa kufanya.
Sms za kutia moyo.
Kuwa na mtazamo kama ya mwanafunzi. Usilize swali kubwa sana wala usijifanye unajua kila kitu.
Sms za kutia moyo.
Lifti ya kufaulu, haifanyi siku hizi. Inabidi utumie ngazi kufikia mafanikio zako.
Sms za kutia moyo

Fanya bora zaidi. Hakuna mwingine anaye fanya bora kama wewe
Fanya bora zaidi. Hakuna mwingine anaye fanya bora kama wewe
Sms za kutia moyo
Kama unaiweza ota, unaweza uifanya
Sms za kutia moyo
Penda familia yako, fanya kazi kwa bidii, ishi kwa shauku
Sms za kutia moyo
maoni ya wengine, isiwe kweli kwa maoni ya ukweli wako
Sms za kutia moyo
Kama nishati yako si nzuri, nishati yako si nzuri
sms za kutia moyo
Hiyo fikra ndogo nzuri, yanaweza badilisha siku yako.
Sms za kutia moyo
Fursa haifanyki tu, ila wewe unaijenga.
Sms za kutia moyo.
Fanya ile unaweza fanya kwa yale uko nayo sahii.
Sms za kutia moyo
Kuwa na huzuni ama uji hamasishe
sms za kutia moyo
Weka malengo yako juu, na uzifikie
Sms za kutia moyo

Kidogo si jiwe la kuvukia. kidogo ni njia yenyewe
Kidogo si jiwe la kuvukia. kidogo ni njia yenyewe
Sms za kutia moyo
chukua ushindi yako. vyovyote ile, thamini ile uko nayo, tumia na usitulie nazo
sms za kutia moyo
Maisha ni kama kuendesha basikseli. Ile na uwe na usawa, inabidii uiendeshe
sms za kutia moyo
Kile unafanya ni sauti kubwa kuliko maana zako
sms za kutia moyo
Kama huwezi fanya jambo kubwa, fanya jambo ndogo kwa bidii ya ukubwa yake
sms za kutia moyo
Uwe na hakika pale unasimama, alafu usimame kwa imara
Sms za kutia moyo
Kama ugumu yake ni kubwa zaidi, ni utukufu zaidi
Sms za kutia moyo
Wasi wasi ni upotevu wa fikra zako.
Sms za kutia moyo
Ujasiri ni fadhila ya ujasiri wote.
Sms za kutia moyo.
Usiangalie nyuma. Endelea kuangalia mbele na uendele.
Sms za kutia moyo.
Msongamano in nguvu kuliko talanta, kama talanta haina msongamnao
sms za kutia moyo.
