12+Nukuu za biblia.

12+Nukuu za biblia. Leo tutayaona maneno muhimu katika biblia. Kwa ya Leo Nukuu za Leo ya bibilia itatoka kwa nhubiri 3:1-8. Uwe na siku njema na mungu awabariki.
Kwa kila jambo Kuna majira yake, na wakati was kila kusudi chini ya mbingu.
- Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa.
- Wakati wa kupanda, na wakati wa kung’oa yaliyopandwa.
- Wakati wa kuua, na wakati wa kupooza.
- Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga.
- Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka.
- Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza.
- Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe.
- Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatiana.
- Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza.
- Wakati wa kuweka, na wakati wa kushona.
- Wakati wa kunyamaza,na wakati wa kunena.
- Wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia.
- Wakati wa vita, na wakati wa amani.