12+Nukuu za biblia.

EVERYTHING ON JUMIA

12+Nukuu za biblia. Leo tutayaona maneno muhimu katika biblia. Kwa ya Leo Nukuu za Leo ya bibilia itatoka kwa nhubiri 3:1-8. Uwe na siku njema na mungu awabariki.

Kwa kila jambo Kuna majira yake, na wakati was kila kusudi chini ya mbingu.

  • Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa.
  • Wakati wa kupanda, na wakati wa kung’oa yaliyopandwa.
  • Wakati wa kuua, na wakati wa kupooza.
  • Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga.
  • Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka.
  • Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza.
  • Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe.
  • Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatiana.
  • Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza.
  • Wakati wa kuweka, na wakati wa kushona.
  • Wakati wa kunyamaza,na wakati wa kunena.
  • Wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia.
  • Wakati wa vita, na wakati wa amani.

Similar Posts