Ilikuwa mwezi wa oktoba karibu tufunge shuleni kwani ilikuwa muhula wa mwsiho tufanye mtihani na kuelekea darasa lifatao katika mwaka ijayo. Niliketi sebuleni nikiskiza wazazi wangu wakipanga likizo ya kwenda kuona Bibi na Babu yangu mashambani.
Year: 2021

Jina la rafiki yangu ni Jesse. Jesse ako katika shuke ya upili ya Aga khan na ako katika kidato cha tatu. Miaka yake ni kunmi na saba, ni mrefu kidogo, rangi ya ngozi lake ni nyeupe pe pe pe. Akimaliz shule huu angependa kuendelea na masomo yake katika Chuo kikuu cha Riara huku Nairobi akitaka kuwa daktari.

As christmas is getting closer and closer there some quotes and wishes that we can at least someone as the season beckons. Day by day people at this time shop like crazy, and theres alot going on. As it gets closer first of all if you are seeing this post, all I wish you is a merry christmas.

Ilikuwa sato, ambapo niliamka asubuhi kupata Mkoro wangu alishakuwa ameenda kazi. Kwa meza niliachiwa doe ninunue oredho kwa duka. Nilienda polepole kwa duka nikabuy, nikarudi kejani ktulia tu nikiwatch movie fulani ya dj afro.

It had rained terribly in the night and the down pour continued long after dawn. I lay in bed for a longer time than usual the torrents rain made me sleep like a log of wood . Then suddenly the sound of a gunshot pierce through the silence just like a sharp knife cutting through a tomato although I had heavy eyes, I jolted out of bed to know what was happening. Just then, i saw the horror through my eyes. Bushmen from the neighbouring village had attacked us.

The rain began to fall little by little. Nobody thought there would be floods but when we woke up early in the morning before the first roaster had notified me. I went in the frogs kingdom to have a lukewarm shower that left me as fresh as cucumber.

Familia yangu inahusu na watu watano. Hawa ni baba,mama,ndugu na Mimi. Jina la baba yangu ni Joseph otieno. Yeye ni mrefu na mwembamba kama sindano. Yeye hufanya kazi Kwa kampuni ya middemb. Yeye hufanya kazi sana ili Mimi na ndugu yangu na dada yangu tupate kula na tupate mavazi.

Nilirauka rau rau baada ya jogoo. Nilienda bafuni kama maji ilinitiririka tiri tiri iliyokuwa maji baridi shadidi. Nilipomaliza, nilienda kuvaa nguo nilizopendeza sana

ulikuwa mwendo wa saa tatu jioni, mama alipoingia nyumbani huku uso wake ukionyesha furaha. Nikauliza nini inafanya yeye awe na furaha hivi. Mama aliniangalia na kusema keshi ni harusi ya mjomba wake. Mama alileta nguo zina na madoa kwake na kuniletea nguo nzuri ilyokuwa suti.

Lakini wazazi wangu hawakuwa na karo ya kutosha kwa kuenda shule niliyotarajia. Nilishikwa na huzuni sana kwamba machozi yalinitoka nikifikiria vile nitapanga kuwa na maisha mazuri kwa maisha yangu ya kesho. sikutaka kuwa maskini ama maisha yawe mgumu kwangu.