Nilikuwa ndani ya nyumba nikiona kwa dirisha kwa kuwa mvua ilikuwa inatiririka kutoka mbingu lakini haikuendelea sana vile. Asubuhi hili lilikuwa inanichenga. Nikitoka inataka kunyesha, nikirudi hainyeshi. Baada ya masaa kidogo tu mvua uliacha kunyesha, nikaanza kujitayarisha kwenda kanisani.
Month: December 2021

Hi and welcome to Middemb where today you are going to see Swahili quotes about love, life, happiness, haters, God, and many more also za kuchekesha. Most of them might be in Swahili form so if you really understand the Swahili language this one might be for you.