50 misemo ya maisha
Maisha yaanaweza kutupinga na saa zingine inaweza kutupa furaha. Si rahisi kwa kila binadamu anyapitia mashida mengi katika maisha yao. na vile vile ni muhimu tuwe na nguvu wakuwa na roho na tamaa la kuishi ili maisha yawe shwari.

Kwa vile tunayo ishi maisha tofauti kulingana na Usuli zetu, ni muimu tuyajuw kana kwamba Maisha ni zawadi kutoka mola mwenyewe ambapo alitup tuishi kama binadamu. Kuishi si rahisi ila Binadamu anafaa kupata nguvu na Kuhamasishwa ili aendele kuishi.
Kwa leo utakavyona hapa chini ni maneno ambao utakupa nguvu ili uendele kuishi maisha bora zaidi ikiwa maisha unahishi kana kwamba umekuwa ngumu mno. Usife moyo na kwa leo chini yetu tuna maneno yatakupa nguvu uedele na kuishi maisha ya kufaulu.
Misemo bora za Maisha
Jifunze kuiona dhahabu hata kama ipo katika matope.
Misemo ya maisha.
Maumivu hufanya mtu abadilike. Akibadilika kila kitu kinabadilika pia.
Misemo ya maisha.
Na filamu ya maisha yangu jambi la kushanga za katili nafsi yangu… Na maanisha nini kila jambo linalo kutatiza na ukashindwa kulitafuta ufumbuzi basi wewe ndio tatizo, wewe ndio uadi wa mafanikio Yako.
Misemo ya maisha.
Usimtegemee sana mtu ndani ya Dunia hii kwa sababu hata kivuli chako mwenyewe kina kuacha unapokuwa gizani.”
Misemo ya maisha.
Ukifikia hatua ambapo maneno ya watu hayakunyimi usingizi, jua umekua.
Misemo ya maisha.
Mtu hata badili maisha yake kama hakuanza na kubadiri fikira zake.
Misemo ya maisha.
Jifunze kubaki kimya. Sio kila kitu kinahitaji majibu.
Misemo ya maisha.
Ni Bora kulia kwa muda baada ya kuvunja mahusiano kuliko kulia kila siku kwa kulazimisha mahusiano yasiyokufaa utateseka sana.
Misemo ya maisha.
Wema tunaofanya Leo huwa furaha ya kesho.
Misem

Jifunze kuiona dhahabu hata kama ipo katika matope
Jifunze kuiona dhahabu hata kama ipo katika matope.
Misemo ya maisha.
Huchukua miaka mingi kuujenga uaminifu kwa watu lakini huchukua sekunde kuvunja uaminifu huo… Ilinde thanani Yako… Utaaminika.
Misemo ya maisha.
Mafanikio makubwa hayafikiwi kwa kutokuanguka kushindwa, Bali ni kusimama kila tuangukapo.
Misemo ya maisha.
Afya Yako ni Bora kuliko hata hiyo message unayo isubira lala you wewe Binti sayuni.
Misemo ya maisha.
Njia pekee ya kufanya Kazi nzuri ni kupenda Kazi Yako kama hujapata Kazi unayoipenda, endelea kulitafuta . Usiridhike.
Misemo ya maisha.
Upo hai kwasababu mungu ana Kazi na wewe.
Misemo ya maisha.
Katika maisha usiogope kumpoteza mtu ambaye unahisi hafurahii kuwa karibu na wewe.
Misemo ya maisha.
Kuachwa na mwanamke mpenda pesa ni sawa na kumaliza deni la mkopo benki.
Misemo ya maisha.
Wadada hivi mnajua tukiwasindikizanga usiku wa manane huwa tunarudi tukikimbia huku tukiwa tumeshika mawe.
Misemo ya maisha.
Epuka Sana kuongea maneno makali ukiwa na hasira. Kwani elewa kuwa, hasira zitaisha ila maneno makali uliyoongea yatabakia.
Misemo ya maisha.

Walimwengu hawana utu, vuta subira usigombane na kila mtu
Walimwengu hawana utu, vuta subira usigombane na kila mtu.
Misemo ya maisha.
Yeyote anayeogopa maisha atateseka, tayari anateseka kwa kuogopa.
Misemo ya maisha.
Usimlilie mtu aliyekutupa, itafika siku yeye atakulilia kwanini alikutupa??.
Misemo ya maisha
Ndoto ndiyo inayowafanya watu kupenda maisha hata kama ni machungu.
Misemo ya Maisha
“Kweli, tunapenda maisha si kwa sababu tumezoea kuishi, bali kwa sababu tumezoea kupenda. Kuna wazimu fulani katika upendo, lakini daima kuna sababu fulani katika wazimu.”
Misemo ya Maisha
Uzuri wa maisha ni kwamba, ingawa hatuwezi kubadilisha yaliyopita, tunaweza kuyaona, kuyaelewa, kujifunza kutoka kwake na kubadilika ili kila wakati mpya tusitumie katika majuto, hatia, hofu au hasira bali katika hekima, uelewa na upendo
Misemo Ya maisha
Maisha si kujitafuta wewe mwenyewe. Maisha ni kujijenga wewe mwenyewe
Misemo ya maisha
Inawezekana kwamba mambo hayatakwenda sawa. Lakini inawezekana pia kwamba kujaribu kutatua hilo litakuwa ujasiri bora kuliko wote
Misemo ya maisha
Ujasiri mkubwa kabisa unao uwezo wa kuutafuta ni kuishi ndoto zako
Misemo ya maisha
Maisha yako kama mwalimu huanza siku unapotambua kwamba daima wewe ni mwanafunzi
Misem

Usiruhusu kusubiri kuwa tabia. Ishi ndoto zako na chukua hatari. Maisha yanatokea sasa hivi
Usiruhusu kusubiri kuwa tabia. Ishi ndoto zako na chukua hatari. Maisha yanatokea sasa hivi
Misemo ya maisha
Siri ya kuwa na furaha ni kukubali ulipo katika maisha na kutumia kila siku ipasavyo
Misemo ya maisha
Usiruhusu woga katika akili yako kukushinikiza. Fuata ndoto za moyo wako
Misemo ya maisha
Kuwa jasiri wa kutosha kuishi maisha ya ndoto zako kulingana na maono na madhumuni yako badala ya matarajio na maoni ya wengine
Misemo ya maisha
Kama kuna mambo usiyoyapenda katika dunia uliyoikulia, fanya maisha yako yawe tofauti
Misemo ya maisha
Kwa muda mrefu, tunajenga maisha yetu na tunajijenga wenyewe. Mchakato hauishi kamwe hadi tufe
Misemo ya maisha
Kadri ninavyozeeka, ndivyo ninavyotambua kwamba ninahitaji vitu vichache tu katika maisha: nyumba yenye starehe, chakula kizuri mezani na kuwa na watu ninawapenda kando yangu
Misemo ya maisha
Niliweza kujielewa baada ya kujiharibia. Na ni katika mchakato wa kujijenga upya tu ndipo nilijua ni nani nilikuwa kweli
Misemo ya maisha
Tunapaswa kupitia vituko ili kujua tunapostahili kuwa
Misemo ya maisha.
Hakuna safari kubwa zaidi ya ile unayopaswa kuchukua ili kugundua siri zote zilizopo ndani yako
Misemo ya maisha.

Ni sawa kuwa na woga. Lakini lazima utoke nje, ufunguke, upende, kosea, jifunze, uwe hodari, na uanze tena upya
Ni sawa kuwa na woga. Lakini lazima utoke nje, ufunguke, upende, kosea, jifunze, uwe hodari, na uanze tena upya
Misemo ya maisha.
Hakuna mtu yeyote anayeweza kukufundisha masomo kuhusu maisha, hutasikia kwa undani mpaka ujapitia mwenyewe
Misemo ya maisha.
Maranyingi, kilicho kikubwa kutokana na kazi yako ngumu siyo kitu unachopata kwa hiyo, bali ni kitu unachokuwa kwa hiyo
Misemo ya maisha
Mimi si mtu ambaye anaona haya kuhusu maisha yake ya zamani. Kwa kweli, ninajivunia sana. Najua nilifanya makosa mengi, lakini yalikuwa masomo yangu ya maisha
misemo ya Maisha
Makosa ni uthibitisho kwamba unajaribu
Misemo ya maisha
Makosa ni sehemu ya kuwa binadamu. Thamini makosa yako kwa sababu ni masomo muhimu ya maisha ambayo yanaweza kujifunza kwa njia ngumu pekee
Misemo ya maisha
Ninachukua masomo yangu yote ya maisha, ambayo baadhi ya watu wanaweza kuyaita ‘makosa’, na kuyatumia katika siku zijazo ili niendelee kukua
Misemo ya maisha
Maisha yamejaa uzuri. Utambue huo. Utambue nyuki, mtoto mdogo, na nyuso zinazotabasamu. Nusa mvua, na uhisi upepo. Ishi maisha yako kwa uwezo kamili, na pigania ndoto zako.
Misemo ya maisha
Kwa mara nyingi tunauweza madaraka ya mguso, tabasamu, neno la upendo, sikio la kusikiliza, sifa ya kweli au tendo dogo la upendo, yote ambayo yanaweza kubadilisha maisha kwa kiwango kikubwa.
Misemo ya maisha
Kuna tumaini na aina fulani ya uzuri mahali pengine, kama utatafuta.
Misemo ya maisha