Methali na aina sita za methali

Methali na aina sita za methali.Methali ni kifungu cha maneno chenye maana fiche msaru imefichika kwa utumi wa tamathali na istiari.

Methali.

Dhima za methali katika jamii.

–         Hutoa mafunzo kwa wana jamii.

–         Hutoa onyo kwa wanajamii.

–         Kutoa ushauri wanajamii.

–         Kuwatia wanajammii nayo

–         Kuwaliwaza na kuwa falisi wanajamii.

–         Kueleza kaadhi ya tabia za binadamu

–         Huifadhi kitamaduni za historia ya wanajamii.

–         Hutumia lugha na urembo na mvutu.

Aina za methali.

Aina za methali.

–         Methali visawe

–         Methali zinazo taja sehemu za mwili.

–         Methali zinzotaja mungu

–         Methali zinazotaja wanyama.

–         Methali zinazotaja moto.

–         Methali zinazotaja ndege.

1.    Methali visawe – venye maana sawa kwa mfano. Dalili ya mvua ni mawingu.

2.    Methali zinazo taja sehemu za mwili – Kwa mfano. Macho hayana panzia.

3.    Methali zinazotaja mungu – Kwa mfano. Mungu si athumani.

4.    Methali zinazotaja wanyama – Kwa mfano. Nyani haoni kundule.

5.    Methali zinazotaja moto – Kwa mfano. Penye moshi hapakosi moto.

6.    Methali zinzotaja ndege – Kwa mfano: Mwana wa kuku hafunzwi kuchakura.

Similar Posts