Hadithi fupi – ya mapenzi mahaba chiku.
Chiku alikuwa na mpenziwe anayeitwa joseph ambaye walipendana sana tangu shuleni ya upili. lakini maish ya joseph yalikuwa yakunga’ng’ana. Joseph amekuwa akifanya juu chini kupata kazi ambayo itampa maisha bora na pia kuweza kuishi na chiku mpenziwe wake wa kufa kupona na hata hivyo kumwoa na kufunga pingu ya maisha.