Insha ya ajali.
Nilirauka rau rau baada ya jogoo. Nilienda bafuni kama maji ilinitiririka tiri tiri iliyokuwa maji baridi shadidi. Nilipomaliza, nilienda kuvaa nguo nilizopendeza sana
Nilirauka rau rau baada ya jogoo. Nilienda bafuni kama maji ilinitiririka tiri tiri iliyokuwa maji baridi shadidi. Nilipomaliza, nilienda kuvaa nguo nilizopendeza sana
ulikuwa mwendo wa saa tatu jioni, mama alipoingia nyumbani huku uso wake ukionyesha furaha. Nikauliza nini inafanya yeye awe na furaha hivi. Mama aliniangalia na kusema keshi ni harusi ya mjomba wake. Mama alileta nguo zina na madoa kwake na kuniletea nguo nzuri ilyokuwa suti.
Lakini wazazi wangu hawakuwa na karo ya kutosha kwa kuenda shule niliyotarajia. Nilishikwa na huzuni sana kwamba machozi yalinitoka nikifikiria vile nitapanga kuwa na maisha mazuri kwa maisha yangu ya kesho. sikutaka kuwa maskini ama maisha yawe mgumu kwangu.
Jini Hilo liliponieleza hayo, lilipotea Nami nikajikuta nyumbani. Sikuamini Yale niliyoyagundua lakini nilinyamaza kimya na kutulia tuli laiti ningaligundua tabia ya Siri ya babu kabla Aage Dunia. Ningalimwelezea kuwa kumla nguru si kazi, kazi kumwosha.
Ilikuwa ijumaa moja nilipodamka bukurala, tayari kwenda kazini. Baada ya kustaftahi, nilijikwatua kwatu kwatu na kuenda kazini. Kazi yangu ilikuwa ya kuwanasa mapwagu na mapwaguzi wa Jiji la Nairobi wezi wote waliniogopa kwani hakuna hata mmoja aliyetoroka kutoka mikononi mwangu.
Kazi yangu ilikuwa ya kuwanasa mapwagu na mapwaguzi jijini Nairobi. Nilikuwa mtu mashuhuri sana. Mabwanyenye Kwa watumwa walinipongeza Kwa kazi yangu njema ya kuwanasa wezi na wanyangani. Waligua hakwaa mwizi alitoka mikononi wangu. Nilifanya kazi yangu Kwa udi na uvumba Hadi wezi waliaadimika kama wali wa daku.
Teknolojia imeleta vitu vipya kama simu,Tarakilishi na vinginevyo. Teknolojia imesaidia kila mtu na kila mahali. Vitabu sana, maisha hayakuwa rahisi. Watu walikuwa wakitembea Kwa miguu wakienda kusafiri mbali sana. Pia walikuwa wanatembea Kwa miguu tupu kila mahali. Watoto sana sana kusoma , walisoma Kwa shule zilizoporomika au Haina mjengo wowote
The Mentalist – for those who have watched the movie you have probably come across this words or even heard it yourself. And this words come to my own thought as I try so much to understand the sentence.
Been held by someone his or her hands are some of the most beautiful moments in a persons life. As a sign of two people been in love, it shows alot how couples care for each other. While people hold there hands together as they walk, or sit or wherever the place they are at or a specific function, we have some of the greatest short love quotes that you can even tell it to your dear loved.
Are you feeling a little bored or down. Don’t worry we got some of the funniest jokes you can check them out and even try to imagine and at least smile or laugh after all this long hardworking day or week to enlight your day or even your week. Its not that good to stress yourself too much till you be sad. Sometimes a joke can make you happy and even feel better.