12 happy Sunday quotes for you and your loved ones.
12 happy Sunday quotes for you and loved ones. Hello and happy Sunday to you all. This is one of the most best day which we have time to spend with family and friend
12 happy Sunday quotes for you and loved ones. Hello and happy Sunday to you all. This is one of the most best day which we have time to spend with family and friend
12+Nukuu za biblia. Leo tutayaona maneno muhimu katika biblia. Kwa ya Leo Nukuu za Leo ya bibilia itatoka kwa nhubiri 3:1-8. Uwe na siku njema na mungu awabariki.
10 Nukuu za chuki. Karibu katika pande huu wa middemb ambapo Leo utazipata Nukuu kumi za chuki au kwa kingereza inatajwa quotes of hate. Ikikupendeza mno tafadhali usiogope kuwaonyesha wenzako kurasa yetu ya middemb.
12 nukuu za maisha. Karibuni sana katika kurasa hii ya middemb ambapo utayaona nukuu kumi za maisha. Nuku hizi zitakusaidia sana na kujiangialia wewe binafsi maisha Yako ni I unataka kuwa au unataka nini katika maisha hii
50 inspirational quotes about friendship that you must share with your bestie. Hi and welcome to our page where we have quotes to get you inspired.
15 what is the best quote you have ever seen, read and or heard. Hi and welcome to my page middemb where we have some quotes to get you inspired. Most of them here are quotes that are some of the best which you probably may have heard from some of your friends.
Nilivaa nguo zangu nikinywa chai kwa mkate iliyokuwa tamu kama asali. Nilipomaliza, nilianza safari kwenda shuleni. Siku hiyo ilikuwa siku ya mwisho ya muhula wa kwanza. Nilipofika shuleni wazazi walikaribishwa na kuketi kwa viti vilivyokuwa nyeusi tititi.
Niliamka asubuhi na maema baada ya jogoo kuwika. Nilienda bafuni kuogelea maji baridi shadidi. Nilipomaliza, nilienda kuvaa nguo zangu zilizonifurahisha sana. Nilienda sebuleni kuianywa chai kwa mikate iliyokuwa tamu kama asali.
Kuandaliwa kwa siku yenyewe kulikuwa kumeshakamilika na sikuamini itafanyika. Hivi ndio siku ilianza kwangu. Nilirauka raurau kabla ya bwana shamzi kupasua matlai yake. Nilienda hamamuni kucheza mchezo wa bata.
Siyawezi kusahau kile tulichofanya mimi na wenzangu. Nilikijuwa na huzuni mno kwani kile nimepitia ni maisha magumu mno. Ningaliskia nisingalifungwa maishani katika gerezani hii. Niliomba mungu msamaha kwa kosa nilichofanya.