Insha ya haki za wanachi.
Ungeniona ungedhani sheria haizingati haki za binadamu nchini mwetu. Nilikuwa na umka na mwili mzima na nimelala kwenye simiti. Pingu zinaumiza mkononi na kuni kidogo. Ilhali ni ngali jua kitafika hadi hapa nisingali ongea katika mkutano hu. Lakini ni lazima nilete haki zetu tuache kutendwa kama wanyama.