Maana ya Lakabu sifa na umuhimu zake
Lakabu ni jima ya utani au kupanga mambo mtu au kitu fulani huitwa kutokana na sifa, maumbile, matendo au simamo fulani. Huwa ni jina la kusifu au kushafishwa ambalo jina hilo hupewa na watu wengine au kujipa.
Lakabu ni jima ya utani au kupanga mambo mtu au kitu fulani huitwa kutokana na sifa, maumbile, matendo au simamo fulani. Huwa ni jina la kusifu au kushafishwa ambalo jina hilo hupewa na watu wengine au kujipa.
Vitanza ndimi sifa na umihimu wa vitanza ndimi.
Ni maneno yanayotanganza wakati wakutamka hii ni kwasababu ya matamshi ya maneno yanayo karibiana mno. K.m –
1.Shirika la reli ya rwanda.
2.Libirigala bigiri bigiri ni la abiria wengi.
3.Kukosa si kosa kosa ni kurudia kosa.
Sifa za vitanza ndimi.
– Ni sentensi zinazobeba maana kamili, hutumia maneno ya lugha sanifu. Sauti zinazotumiwa ni za kawaida ila inatumiwa sana katika maisha.
– Huimarisha stadi ya matamshi.
– Hujenga stadi ya umakinifu.
– Huifurahisha wanajamii.
– Hufikirisha wanajamii.
– Ni njia moja ya kujenga vijan ili kusuma wasemaji hodari/walumbi wa baadaye.
Tanakali za sauti/onamatopea.
– Ni miigo ya milio au sauti za vitu, vitendo fulani k.m jiwe lilianguka majini chubwi!
Umuhimu wa tanakali za sauti.
– Huleta dhana ya kusisitiza katika semi fulani.
– Hujenga picha ya kitendo kinachofanyika.
– Ni njia ya mojawapo ya kuwafanya watoto kujifahamisha mazingira yao.
– Ni mojawapo njia za kujifahamishia lugha.
Vitendawili ni fungu la maneno linalo na maana fiche mtu hutajika kufikiria ili maana kufumbuliwa.
Misimu Ni maneno au semi zinazo zuka katika jamii na kutumiwa na watu ambao huelewana. Hutumiwa kama siri miongoni mwao kwa kuwa wanaelewa maana ya maneno au semi hizo.
nyimbo ni maneno yaliyopangwa kimziki.kuna kupanda na kushuka sauti katika mapigo
Methali na aina sita za methali.Methali ni kifungu cha maneno chenye maana fiche msaru imefichika kwa utumi wa tamathali na istiari.
16 hope love quotes to get you through the day.Hope gives us more encouragement to get through our life and love can be a booster in that. If we have both love and hope in ourselves i think it can lead very much to more happier lives that we could ever imagine. As you land on this
Drake has been one of the most succcesful people in life and hiphop which has ripped him benefits of even becoming currently a multi – millionare. As most people or even young aspiring rappers would lov e to become like him. Here are some 11 drake good quotes to get
Doge coin has been trending lately and it it has been having its own motto on some social platforms to the moon. While all this is happening we have some incredible quotes and sayings on dogecoin. What do people online day about dogecoin , is it awesome or it’s just a crypto trend. 1.” Instead …
5+Doge coin quotes and what people are saying about it. Read More »
Insha ya harusi. Tuliamka alfajiri yamajogoo tayari kwa safari tuliyoingojea kwa siku nyingi. Tulijitayarisha kwa haraka ili tusichelewe kuenda kumlaki dada yangu katika eneo la harusi katika mbio mbio za sakafuni, tulipatana na wenzetu njiani, tulichukua gari na kuondoka. Tulikuwa karibu kuwasili eneo la harusi yenye ilikuwa katika kanisa la shauri moyo Adventist church ambayo …