Insha ya masimulizi Fungate ya machozi.
Kwa baadhi yetu hatujui maana ya kuwa na masikio. Wengine huyatumia kusikiliza tu huku mioyo yao ikikataa kusikiza. Kwa wengi, kuna wale hawafuati sheria au maneno tu ndogo inayoweza kuwaletea majuto au kifo.
Kwa baadhi yetu hatujui maana ya kuwa na masikio. Wengine huyatumia kusikiliza tu huku mioyo yao ikikataa kusikiza. Kwa wengi, kuna wale hawafuati sheria au maneno tu ndogo inayoweza kuwaletea majuto au kifo.
Kwa maneno ya Mama imeninginia akilini mwangu kila siku nikiwa gerezani pamoja na wenzangu. ” Mtego wa panya huwanasa waliomo na wasiokuwamo.” kila mtu ana hadithi zake hapa na mbona waeshtakiwa kwa mashtaka kwa wengi usiofaa.
Wazee wa kale walikonga na kutembea kwa mkongojo waliamba kuwa aliyee juu mgoje chini. Walikuwa na maana kuwa mtu leo anayejigamba kwa cheo chake leo kesho utampata akiwa ameanguka pu, asipojichunga. Semi hili hututadharisha tusifanye jambo kama hili.
kuna aina mengi za insha kama vile ya masimumilizi, Barua, mahojiano, majidiliano na mengineyo. lakini leo tuna mafano moja wa insha ya mawazo ila utungo wake ni toufauti na mengine. Insha huu ina utungo ambao huandikwa kutokana na kuwaza kwa kina kwa mandishi.
lakini ilikuwa imeanzishwa katika mji kadha kama vile laikipia na Nyandarua. Kwa vile ndio watu wanatarajia matakwa kama hizi kutoka kwetu lakini na himiza kuwa watu wenyewe kila mwananchi afanye juu chini kupanda mimea ama vile miti juu mazingira na tunaweza kufanya biashara na wakulima na kuelimisha na hayo yatachangia kubwa sana katika jamii letu.
Ukiwa na bidii za mchwa mungu hawezi kosa kubariki kwa yale kazi unaofanya. ” hadithi, hadithi ?.” mzee nazim aliuliza. Tukajaibu ” hadithi njoo.” Mzee nazim amekuwa mzee wa mali na pia wa heshima.
Ndio walikuwa na bidii za mchwa na walifanya juu chini kufanya zoezi inayofaa. Isikose kochi wao alikuwa Simba. Mkali mno anapongea wachezaji wake wanaogofya. Lakini kochi huy hakuelewa mbona Kila wakati timu yao inashindwa Kila mechi unaofanyika.
Maisha yalikuwa tamu mno. Mwisho wa mwaka 2019 mambo katika nchini ilikuwa sabamba. Biashara ilikuwa ikiendelea vizuri, pesa haikuwa shida kupata. Mimi ni mwanafunzi katika shuleni kuu ya kenyatta. Nasomea udaktari, ili niweze kusaidia kutibu watu wagonjwa katika jamii yangu na pia kupata pesa kusaidia familia yangu.
Kukopolewa na siku za mwanzo za uhai wangu ni mambo yaliyotokea mfano wa kitendawili au hii hoja ambacho wakunga na wakungazi wa hospitali ya pumwani wavumilia kwa siku na miaka. Husisimuwa kuwa siku na miaka nilpowa kijusi nilitoka kutoka sio kwamba nilikuwa mgonjwa. Daktari alisema ilimbidi mama alikuwa buheri wa afya ili nilipani ktika tu.
Naam!, Wakale hawakunona walipologa kuwa mchumia juani hutia kivulini. Hii ni methali iliyotumika kukaahifu wanajamii dhidi ya kutia bidii za mchwa Kwa kika ufanyalo.