Insha ya mungu hamsahau mja wake.
Lakini wazazi wangu hawakuwa na karo ya kutosha kwa kuenda shule niliyotarajia. Nilishikwa na huzuni sana kwamba machozi yalinitoka nikifikiria vile nitapanga kuwa na maisha mazuri kwa maisha yangu ya kesho. sikutaka kuwa maskini ama maisha yawe mgumu kwangu.