Insha ya ajali barabarani.
Kazi yangu ilikuwa ya kuwanasa mapwagu na mapwaguzi jijini Nairobi. Nilikuwa mtu mashuhuri sana. Mabwanyenye Kwa watumwa walinipongeza Kwa kazi yangu njema ya kuwanasa wezi na wanyangani. Waligua hakwaa mwizi alitoka mikononi wangu. Nilifanya kazi yangu Kwa udi na uvumba Hadi wezi waliaadimika kama wali wa daku.