Insha ya tahadhari – maana yake na sifa zake.
Tahadhari – maana yake na sifa zake.Tahadhari ni maelezo yanaoyotolewa ili kufahamisha kuhusu kutokea kwa hali fulani. Hutolewa kueleza hadhari za mbali husika hasa panapokuwa na hatari ya madhara.
Tahadhari – maana yake na sifa zake.Tahadhari ni maelezo yanaoyotolewa ili kufahamisha kuhusu kutokea kwa hali fulani. Hutolewa kueleza hadhari za mbali husika hasa panapokuwa na hatari ya madhara.
insha kuhusu mimea. Mimea imekuwa tegemzi kubwa sana katika inchi zetu, katika sekta ya kilimo ni muhimu sana kwani pia hulet inchi yeyote ile ipate faida zake. Swahili ni mimea nini, mimea ni moja kati ya makundi ya viumbe vingine ya uhai unaopatikana katika mazingira yetu.
Umuhimu wa insha. Insha ni muhimu sana kwa mwanafunzi. Insha si tu kuandika tu lakini pia ukumbuke unamuhimu wake. Iwe mwanafunzi au mwalimu au pia mwandishi wa kitabu, gazeti au mtangazaji, insha husaidia mtu au watu kwa njia tofauti. Umuhimu wa insha nini?, leo tutayaona na kupitia Umuhimu wa insha.
Lahaja – maana yake. Ni mbondo au kilugha cha lugha moja kuu yani jinsi wazingumzaji wa eneo fulani wa kijiografia au kundi la kisanii wanavyotumia lugha fulani.
Insha ya mdokezo. Hii ni insha ambayo mwanafunzi huhitajika kuikamilisha. Insha ya mdokezao ni aina mbili. 1. Insha ambayo mwandishi hupewa mdokezo wa utangulizi. 2. insha ambayo tamati yake inadokezwa au Mdokezo wa kwanza , mdokezo wa kumalizia.
Insha ya mazungumzo au dayolojia na maana yake.(guide).Dayolojia ni mzungumzo yanayo wahusu watu wawili au pande mbili. Zikiwa na lengo la kutatwa au kuweka wazi swala fulani. Mazungumzo hutokana na kitezi zungumza. Kilicho na maana ya kubadilishana mawazo kuhusu swala lolote. Mazungumzo hungawanya mara moja: a. Mazungumzo rasmi. b. Mazungumzo ya kawaida. Yanatokoa mahali popote wakutanapo husik….
Maelezo ni insha ianyoaagiza mtu afanye jambo fulani au kumwonyesha njia yakuonyesha maneno fulani au michoro.
– Mtu hupewa maelekezo ili kuhakikisha kuwa, hayafanyi mambo fulani vibaya au njia isiyofaa.
1.Maelekezo wakati wa mtihani.
2. Maelekezo jinsi ya kutumia dawa fulani.
3. Maelekezo jinsi ya kununua kifaa na kutumia k.v Runinga, simu.
4. Maelekezo jinsi ya kununua kifaa na kutumia k.v runinga, simu.
5. Maelekezo ya barabara.
Umuhimu wa maagizo.
– Kumwangaza mtu kufanya jambo fulani.
– Kuhakikisha na mtu hapotezi wakati.
– Kumwezesha mtu kuwa na nidhamu fulani.
– Kuwe na maelekezo mzuri wa kufanya mambo. M.f maelekezo ya mapishi.
– Kumwepusha mtu na hatari m.f maagizo ya jinsi na kutumia dawa.
Jinsi ya kuandikia insha ya maelekezo.
1. Kuwe na kijiichwa.
2. Maagizo yafutane moja kwa moja kuanzia agizo la kuanzia hadi ya mwisho.
3. Kusiwe na agizo au, ama.
4. Kusiwe na njia mbili za kufanya jambo.
5. Ni jambo la busara kutumia namanri kwa kila agizo ili kuonyesha jinsi utaratibu wa kuandika jambo utafululizwa.
m.f: Jinsi ya kumhudumia anayetokwa na damu tia maanani kwamba kuvunja kwa wingi huenda kukamfanya mhusika kuzirai kutokana na mshtuko zingatie yafuatayo.
1. Valia glovu za mkono na uhakikishe umwewana mikono kabla ya kufanya huduma.
2. Ikiwa una jeraha ama kidonda, kizibe kwa rifaa chenyae kunata na kisichopenyeza maji.
3. Vua au rarua nguo za mwathiriwa ili kuweka wazi kidonda. Chunguza ikiwa Jeraha ina vitu vikali.
4. Finya eneo lenye jeraha kwa vidole vyako vya nyumba, kimoja kila upande wa jeraha kunganda na kumwezesha damu kunganda na kumwezesha.
5. Inua sehemu iliyojeruhia juu la eneo la moyo wa mhusika.
– Hakikisha unafanya hivyo kwa uangalifu haja ikiwa jeraha limajirikisha ili kupunguza mwendo wa damu.
6. Mlaze chali mhasiriwa kichwa kikiwa kimeinama kidogo kuliko kiwiliwili ili kupunguza uwezekano wa mshtuko wa moyo.
7. Mfunge bendeji katika eneo la jeraha.
8. Ikiwa damu huonyesha kewenye bendeji mfunge bendeji ingine juu.
9. Mpeleke mhajiriwa katika kituo cha matibabu kilicho karibu.,
sifa za hotuba na maana yake. Ni maelezo yanayaotolew na mtu mmoja mble ya watu wengi.
Insha ya Hadithi fupi na sifa zake.
Insha ya barua na aina zake. Ni maandishi yenye kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Zipo aina mbili.