50 Sms za huzuni
Ukiwaendekeza walimwengu Kila siku utauguli matching Bora umuamini mungu anakupa lako fungu.
Ukiwaendekeza walimwengu Kila siku utauguli matching Bora umuamini mungu anakupa lako fungu.
Usingizini ni Hali alioiasisi mungu na kumpatia mwanadamu. Hali huo inayoanza kama hisia.
Si kila mtu anaweza kupa furaha. Na wale walio weza kupa hiyo raha ni vizuri uwajulishe kuwa ni watu muhimu sana katika maisha yako. Ni vyema uwakumbusha ju si rahisi kupata mtu anayekujali na pia angetaka usiwe na huzuni moyoni mwako. Ukiwa wewe una rafiki anayekujali na pia anajaribu sana kukuona uwe na maisha raha…
Je, utafanyaje kumtongoza mpenzi wako kutumia simu?, jibu shwari kabisa sana nikutumia maneno matamu ya mapenzi ila pia inahitaji ukarimu na mawazo kufanya mabo yawe zaidi kuendelea kuwa nzuri. Kuna maeneo mengi ya kujaribu kumtongoza mpenzi unayomjali. Ikiwa unashida ikikujat kutafuta usife moyo bali tuna sms au maneno yanaweza kuitumia kuonyesha una hisia za mtu…
Mapenzi kweli una mautamu yake. Haiwezi kosa ukipenda mtu anayekujali na anaweza kaa na wewe ikiwa jua au mvua, wakati chochote unachokipitia maishani, basi ni mtu bora sana. Kwa kuwa kuna furaha kupenda na kupendwa hatuwezi kosoa kuwa kuna maneno yale tunaweza kutumia kwa wapendwa wetu. Kuwa na maneno matamu inaweza leta furaha kati yenu…
Mambo huwa shwari kama tukiwa na wenzetu ambao wanaweza kutuchekesha wakati wowote. Kwa vile vile maisha yanaweza kuwa magumu na pia tatizo nyingi, ni vizuri ujipe muda upate nafasi ya kucheka ili uwe na furaha.
Si rahisi vile kwa binnadamu kupitia machungu mno hasa kama Amevunjwa moyo na mpenziwe. Pia rafiki anaweza geuka kuwa adui na mambo kama hayo yanatufanya tuwe na huzuni mno. Inaweza kuwa mtu amekukosoa lakini hajafanya jambo nzuri la kuikanya kosa lake kitafuta msamaha.
Sms za kirafiki ni maneno ambacho unaweza kuitumikia katika simu yako ili utumie mwenzako sms za kuonyesha kuwa unamjali rafiki mwenzako. Urafiki ni kitu ambapo ni muhimu sana katika maisha ya Binadamu amabpo kila siku tungependa kuwa na watu wanaotujali.
Hasa maisha ya binadamu si rahisi mno. Kwa kweli kila siku bainadamu ana jaribu sana kuhikimu mahitaji zake kila siku. Si rahisi kwa kuwa maisha imwkuwa mgumu mno. Kama vile uchumi yetu kwa mfano yanaweza kera matajo ya watu kwa hali uchumu ikiwa juu, bidhaa zikiwa juu si wote wana uwezo kupata mahitajo yao.
Na filamu ya maisha yangu jambi la kushanga za katili nafsi yangu… Na maanisha nini kila jambo linalo kutatiza na ukashindwa kulitafuta ufumbuzi basi wewe ndio tatizo, wewe ndio uadi wa mafanikio Yako.