Insha ya Dayolojia kuhusu ajali ya barabarani.

Insha ya Dayolojia kuhusu ajali barabarani.(Afisa mkuu was polisi was idara na mwanafunzi ofisini mwa walimu mkuu.).

pensive black man studying on street
Photo by Keira Burton on Pexels.com

Afisa: Hujambo?

Mimi: sijambo afisa.

Afisa: Masomo yv.ako vipi?.

Mimi: yako rahisi Kama kunya maji.

Afisa: Hiyo ndio maisha jitahidi.Mimi: Asante.Afisa: katika Masomo najua mnafunza njia za kujikinga barabarani.

Mimi: naanm

Afisa: Kama zipi?.

Mimi: kuendesha gari kwa utaratibu.

Afisa: hongera ! Ingine.

Mimi: Dereva hafai kuendesha gari lake akiwa amelewa Ana anavuta sigara ama kutumia kodonge chochote kile Cha sawa za kulevya.

Afisa: Hiyo ndio nilitarajia useme Kwanza madereva walita Hilo katika sikio la kufa ambalo haliskii dawa.

Mimi: madereva at anaweza kuwa ua watu takribani ishirini safari moja.

Afisa: Naam kweli wewe umetafakali kwa makini hongera!.

Mimi: Mimi ni mwana sana.

Afisa: kweli.

Mimi: Asanti.

Afisa: lesoni njema.

Mimi: Asante ( anaenda darasani)

Similar Posts