Insha ya mahojiano Kati ya meneja wa kampuni na mtu anayeomba kazi.

EVERYTHING ON JUMIA

Insha ya mahojiano kati ya meneja wa kampuni na mtu anayeomba kazi.



Meneja: Karibu ndani. Hujamnbo?





Mwajiriwa: Asante. Sijambo.



Meneja: Unaitwa nani?



Mwajiriwa: Hassan Ali.



Meneja: Kutoka wapi?



Mwajiriwa: Kutika muranga.



Meneja: ( Huku akisimama) ningependa kukutembeza huku ili ukujue sawsawa.



Mwajiriwa: (Akisimama kwa kutabasamu) anamuuliza meneja mengi kuhusu kampuni hiyo.



Meneja: (Akiashiria) hapa ndipo wafanyikazi hulala.



Mwajiriwa: Asante kwa kunionyesha.



Meneja: Ningependa nikutembeze kila eneo ya kampuni hii.



Mwajiriwa: maeneo mengine yanapendeza sana.



Meneja: ndio maana unaona wateja wengi wakifanya kazi.



Mwajiriwa: kwa kweli kampuni hii ndio maana ikon a sifa teletele.



Meneja: ( Huku wakirudi ofisini) sasa ningependa niziangalie barua zako za shuleni.



Mwajiriwa: ( wamefika ofisini ) Bwana, barua zipo hapa.



Meneja: kumbe ulikuwa unafaulu vizuri?.



Mwajiriwa: ndio ili niweze kuinufaisha baadaye.



Meneja: Hata hivyo. Mimi ningependa kukupongeza sana kwa bidii yako. Pia hapo nikikuajiri endelea vivyo hivyo.



Mwajiriwa: Asante kwa kunipongeza. Nitaendelea na bidii, heshima na utu wangu.



Meneja: sasa nimekubali ombi lako la kuomba kazi.



Mwajiriwa: Nashukuru kwa kunikubali.



Meneja: Ukikubwa na tatizo lolote kuhusu waajiriwa wengine, niammbie ili tuyatatue.



Mwajiriwa: Nikiwambia sita ficha. Labda siku moja nitakuwa na tatizo na waje waniseme.



Meneja: najua weweunaweza fanya kazi kushinda wale wengine.



Mwajiriwa: Ndio nitafanya kazi bila uvivu wowote.



Meneja: kwa leo, pumzika bali kesho unaweza anza kazi.



Mwajiriwa: sawa nitafanya uliyoniambia.



Meneja: Kazi unzoziona zikifanywa hapa ndizo utakavyo fanya.



Mwajiriwa: Si kazi ngumu. Ni rahisi kama mboga.



Meneja: Jitahidi sana.



Mwajiriwa: Nitafanya hivyo.



Meneja: unaweza kwenda zako lakini ukumbuke kuja mapema kutika ni saa mbili.

Mwajiriwa: Asante.



Meneja: kwaheri.



MWajiriwa: ya kuonana.





Similar Posts