Insha ya Resipe ya nyama ya watu wawili.

Resipe ya nyama ya watu wawili.

VIungo.

  1. Nyama lililokatwa kutoka dukani ( kilo2)
  2. Vitunguu vinne vilivyokatwakatwa.
  3. Nyanya (4) kutoka dukani na kuzikata.
  4. KItungu saumu (1).
  5. Chumvi (kiwango cha kijiko moja cha chai.)
  6. Mafuta ya kukaanga m.f Golde fry, kasuku.

Utaratibu.

  1. Osha nyama vizuri na maji safi.
  2. Chemsha nyanza kwa muda wa nusu saa.
  3. Tia kitunguu kweney sufuria, ongeza mafuta ya kukaanga kisha kwake sufuria kwenye moto.
  4. Pika kitungu hadi kibadilishe rangi, ongeza kitunguu saumu na kisha upike kwa dakika mbili
  5. Ongeza nyanya na uweke vipande vya nyama kwenye mchuzi.
  6. Weka chumvi ili kuongeza ladha. Pika kwa muda wa saa.
  7. Nyama yako uko tayari.

Mchuzihuu unaeza liwa kwa wali au chapati n.k.

Similar Posts