Insha ya ripoti
Insha ya ripoti. Ni maelezo kuhusu myu, kitu au tukio. Huandikwa ili kuweka wazi mada husika kwa minajili ya kuwawezesha washikadau huchukua hatua.
Mambo yanayopaswa kuzingatiwa wakati wa kuandikia ripoti.

1. Kichwa
– Kiini cha ripoti.
– Kichwa hiki hundikwa kwa herufi kubwa.
2. Utangulizi
– Hueleza ripoti inahusu nini. Usuli wa mambo.
3. Ripoti
- inaweza kuwa na sehemu zifuatazo.
- Mdhumuni.
- Vichwa vidgovidog kuelezea mambo tofauti. Jambo hili hufanyika
ili anayesema aweze kujua mambo fulani linapatikana wapikwa maraka.
- Mapendekezo hutolewa.
- Hitimisho ya ripoti iwe na sahihi, jina na cheo cha aliyeandika.
- Kuna aina mbalimabali za ripoti
kama vile:
- Ripoti kuhusu tamasha za
- muziki katika
- ngazi ya kitaifa.
- Matokeo ya mitihani na mwaka wilayani.
- Ripoti kuhusu michezo.
- Ripoti kuhusu utafiti fulani.
Mfano wa ripoti.
RIPOTI YA KAMATI TEULE YA ELIMU NA MAENDELEO KUHUSU KUANZISHWA KWA SHULE MPYA, JUENI.
Utangulizi.
- Elimu ni ufunguo wa maisha.
- Yeyote anayejiunga na masomo
- shuleni huwa na nafasi ya
- kujimarisha maishani.
- Elimu humwongoza mja popote pale
- katika kukabiliwa na zake
- ulimwenguni. Ni kutokana na umuhimu wa elimu
- ndipo kamati
- iliundwa ili kuanzisha shule ya upili yamseto katika mkasa ya jueni.
- Awali, mwanafunzi wengi chache za mbali.
Kamati ilishirikisha wafuatao.
Mraibu miradi (Mbunge wa jioni) – mwenyekiti.
Mkuu wa elimu, jueni – katibu.
Junguu kuu mstaafu – mwekahazina.
Diwani, jueni – mwanakamati.
Afisa wa afya, jueni – mwanakamati.
Afisi wa kilimo, jueni – mwanakamati.
Afisa wa mazingira, jueni – mwanakamati.
Uwanja wa shule.
Kamati lilitembelea kata ya jueni na kukutana na viongozi wa eneo hilo.Uwanja wa nakamati kuni (10) ulikaa tayari umetengwa kwa shughuli ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari.Sekondari hiyo ilikuwa umetolewa hutokana kwa uwanja wa eka sitini…uliotengwa mahususi kwa shughuli zozote za kijamii kwenye kata.
Ujenzi.
Kwa kuwa wanajamii walielewa muhimu wa elimu mpango ulianzishwa na watu mkazi alihitajika kutenga siku moja kwa juma. Ili kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa madarasa,ofisi ya mwalimu mkuuofisi ya walimu na maabara moja ya kisayansi.
Serikali ili iwe imetoa shilingi milioni nne kutumika katika awamu ya kwanza…Mkuu wa elimu wilayani aliyeongoza katika usimamizi wa ujenzi huo.
Walimu.
Wanakamati walijulishwa kwamb…serikali ingetuma walimu watano katika kipindi cha baada ya majengo kukamilika na wengine wanne katika kipindi cha pili cha mwaka.
Usajili wa wanafunzi.
Kamati ilihakikishwa kuwawanafunzi bora wa shule za msingi.
