Insha ya ripoti

Insha ya ripoti. Ni maelezo kuhusu myu, kitu au tukio. Huandikwa ili kuweka wazi mada husika kwa minajili ya kuwawezesha washikadau huchukua hatua.

–        Mambo yanayopaswa kuzingatiwa wakati wa kuandikia ripoti.

1.   Kichwa.

–        Kiini cha ripoti.

–        Kichwa hiki hundikwa kwa herufi kubwa.

2.   Utangulizi.

–        Hueleza ripoti inahusu nini. Usuli wa mambo.

3.   Ripoti.

–        inaweza kuwa na sehemu zifuatazo.

a.    Mdhumuni.

b.   Vichwa vidgovidog kuelezea mambo tofauti. Jambo hili hufanyika

ili anayesema aweze kujua mambo fulani linapatikana wapikwa maraka.

c.    Mapendekezo hutolewa.

d.   Hitimisho ya ripoti iwe na sahihi, jina na cheo cha aliyeandika.

– Kuna aina mbalimabali za ripoti 

kama vile:

a.    Ripoti kuhusu tamasha za

 muziki katika

 ngazi ya kitaifa.

b.   Matokeo ya mitihani na mwaka wilayani.

c.    Ripoti kuhusu michezo.

d.   Ripoti kuhusu utafiti fulani.

Mfano wa ripoti.

RIPOTI YA KAMATI TEULE YA ELIMU NA MAENDELEO KUHUSU KUANZISHWA KWA SHULE MPYA, JUENI.

Utangulizi.

Elimu ni ufunguo wa maisha.

Yeyote anayejiunga na masomo 

shuleni huwa na nafasi ya

 kujimarisha maishani. 

Elimu humwongoza mja popote pale 

katika kukabiliwa na zake 

ulimwenguni. Ni kutokana  na umuhimu wa elimu 

ndipo kamati

 iliundwa ili kuanzisha shule ya upili ya

 mseto katika mkasa ya

 jueni.

 Awali, mwanafunzi wengi chache za 

mbali. 

Kamati ilishirikisha wafuatao.

Mraibu miradi (Mbunge wa jioni) – mwenyekiti.

Mkuu wa elimu, jueni – katibu.

Junguu kuu mstaafu – mwekahazina.

Diwani, jueni – mwanakamati.

Afisa wa afya, jueni – mwanakamati.

Afisi wa kilimo, jueni – mwanakamati.

Afisa wa mazingira, jueni – mwanakamati.

Uwanja wa shule.

Kamati lilitembelea kata ya jueni na 

kukutana na viongozi wa eneo hilo.

Uwanja wa nakamati kuni (10) ulikaa 

tayari 

umetegwa

 kwa shughuli ya ujenzi wa shule 

mpya ya sekondari.

Sekondari hiyo ilikuwa umetolewa 

hutokana kwa 

uwanja wa eka sitini

uliotengwa mahususi kwa shughuli

 zozote 

za kijamii kwenye kata.

Ujenzi.

Kwa kuwa wanajamii walielewa 

muhimu wa elimu ,

 mpango ulianzishwa na 

watu mkazi alihitajika kutenga

 siku moja kwa juma. 

Ili kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa

 madarasa,

 ofisi ya mwalimu mkuu,

 ofisi ya walimu na maabara moja ya

kisayansi. 

Serikali ili iwe imetoa shilingi milioni 

nne 

kutumika katika awamu ya kwanza.

 Mkuu wa elimu wilayani aliyeongoza 

katika usimamizi wa ujenzi huo.

Walimu.

Wanakamati walijulishwa kwamba

 serikali ingetuma 

walimu watano katika kipindi cha 

baada 

ya majengo

 kukamilika na wengine wanne katika 

kipindi cha pili cha mwaka.

Usajili wa wanafunzi.

Kamati ilihakikishwa kuwawanafunzi 

bora wa shule za msingi.

Similar Posts