Isimu jamii – na umuhimu zake na maana

Isimu jamii na umuhimu zake na maana. Isimu jamii – ni matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali. ( Jamii ) kama vile; sokoni, mahakamani, hospitals, shule, michezo, kwenye utafiti, hotelini, biashara n.k.

–        Lugha huitwa sajili pia

full moon on a daybreak
Photo by David Besh on Pexels.com

Sajili ya lugha  hutegemea mambo yafuatayo.

–        Wahusika – msamiati hulebga wahusika yaani watumizi wa lugha.

–        Uhusiano wao – kama ni kirafiki, kikazi , kihadhi au cheo.

–        Mahali – mazingira yanaweza kuwa tulivu, furaha, huzuni , fujo.

–        Tukio lenyewe – lugha hutegemea matokeo kama vile: mkulima, kucheza, matokeo, harusi.

–        Umri – sajili yeyote hutegemea.

–        Tabaka – lugha yeyote hutegemea cheo kama ni tajiri au maskini.

–        Jinsia – hali ya kuwa mwanamke au mwanaume kwa wanawake  kwa wanawake wana lugha yao.

–        Elimu – sajili hutegemea kiwango cha elimu.

–        Wakati – msamiati hubadilika kutegemea wakati m.f msamiati wa teknolojia mpya. Kwa vile rununu, televisheni, wafuti, kipepesi, mtandao wa kijamii wakati huu.

BLACK FRIDAY DEFACTO DEALS

Similar Posts