Insha ya sheng.
Ilikuwa sato, ambapo niliamka asubuhi kupata Mkoro wangu alishakuwa ameenda kazi. Kwa meza niliachiwa doe ninunue oredho kwa duka. Nilienda polepole kwa duka nikabuy, nikarudi kejani ktulia tu nikiwatch movie fulani ya dj afro.
Ilikuwa sato, ambapo niliamka asubuhi kupata Mkoro wangu alishakuwa ameenda kazi. Kwa meza niliachiwa doe ninunue oredho kwa duka. Nilienda polepole kwa duka nikabuy, nikarudi kejani ktulia tu nikiwatch movie fulani ya dj afro.
Nilipokuwa mtoto mdogo, nilitaka kuwa na kazi nzuri kwani shuleni nilikuwa na soma vizuri shuke ya upili nilikuwa na rafiki wa kufa kuzikana tulipokuwa tunapendana kama chanda na pete.
Ilikuwa mwezi wa oktoba karibu tufunge shuleni kwani ilikuwa muhula wa mwsiho tufanye mtihani na kuelekea darasa lifatao katika mwaka ijayo. Niliketi sebuleni nikiskiza wazazi wangu wakipanga likizo ya kwenda kuona Bibi na Babu yangu mashambani.
Nilikuwa ndani ya nyumba nikiona kwa dirisha kwa kuwa mvua ilikuwa inatiririka kutoka mbingu lakini haikuendelea sana vile. Asubuhi hili lilikuwa inanichenga. Nikitoka inataka kunyesha, nikirudi hainyeshi. Baada ya masaa kidogo tu mvua uliacha kunyesha, nikaanza kujitayarisha kwenda kanisani.
Insha ya resipe ni mtungo unaonyeshs utaratibu na hatua zinzazofuatwa katika utayarishaji wa mapishi. Mwandishi wa insha hii inahitajika kufuata mwongozo ufuatao.
Insha ya risala na maana yake.Risala ni ujumbe au taarifa inayoandikwa na mtu au kundi ili upelekwe kwa mtu fulani kwa lengo la kutoa maoni yao au kuonyesha msimamo wao kuhusu swala fulani.
Insha ya ratiba. Ratiba ni uandishi wa jirani mambo yanavyotarajiwa kufanyika kuonyesha pia wakati shughuli fulani itakuwa inafanyika.
Insha ya kumbumbu za mkutano wa pili wa mwaka.
Insha ya kumbukumbu za mkutano wa pili wa mwaka ambapo tutajadili ajenda zifutazao usajili wa wanachama wapya kuamrisha uzungumzaji wa kiswahili shulenina kongamano la kiswahili. Tarehe 7 Januari kuanzia saa nne jioni.
Waliohudhuria.
Bw. Morris Nzomo – Mwenyekiti.
BI. Grace fahari – Naibu wa mwenyekiti.
BI. Stacey mwende – Mwekahazia.
BI. Pius mwendwa – Katibu.
BW. Dennoh musyoki – mwanakamati.
Waliotuma udhuru.
BW. John mwanzi – Mwanachama.
BW. Patricia kimkungut – Mwanachama.
BW. Peter Nzoki – Mwanachama.
Waliokosa kuhudhuria.
BW. Noah joel – Mwanachama.
BI. Alice samson – mwanachama.
Katika mahudhuria.
Prof . Dennoh victor – Afisa katika wizara ya elimu shuleni.
AJENDA.
Usajili wa wanachama wapya.
Kuamazisha uzungumuzaji la kiswahili shuleni kongamano la kiswahili.
WASILISHO KUTOKA KWA MWENYEKITI.
Mkutano ulianza saa nne kwa maombi yalioongoza na BW. Dennoh musyoki. Mwenyekiti aliwakaribisha waliohudhuria na kuwashukuru kwa bidii walionyesha.
KUMB: 7: 2021 USAJILI WA MWANACHAMA WAPYA.
Katibu aliwafahamisha wanachama kuwa tuko na usajili wa wanachama wapya ambapo wenye walikuwa walieza kuenda kwao na kusema wanachama wachaguliwe wengine.
KUMB: 8: 2021 KUAMAZISHA UZUNGUMZAJI WA KISWAHILI SHULENI.
Wanachama wanakubaliana kuwa wanafunzi wakuwe wanazungumza lugha ya kitaifa ambayo ni kiswahili kwa sababu wamezoea kuongea kiingereza mpaka wakasahau kiswahili.
KUMB: 9: 2021 KONGAMANO LA KISWAHILI.
Wanachama wanaarisha wanafunzi wasikuwe wanaongea kiswahili kila siku lakini wanaeza tegewa siku moja tu maalumu ya kuongea kiswahili.
KUFUNGA MKUTANO.
Mkutano ulifungwa kwa maombi yaliyongozwa na BW. Pius mwendwa saa tisa jioni.
THIBITISHO.
Sahihi Tarehe.
Mwenyekiti : 7 Januari 2021
Katibu : 7 Januari 2021
Mgagaa na upwa hali wali mkavu. Methali hii ina maana kuwa mtu anayejikaza kisabuni hakosi alichokitarajia mtu anapojitahidi katika jambo fulani huwa anapata mazao yake baada ya muda mfupi tu au baada ya muda usiotarajia. Hutumiwa kuhimiza aidha mwanafunzi ilil kutia bidii katika masomo yake ili kufanikiwa.
Siku yangu ya kwanza katika shule ya upili. Ilikuwa asubuhi ya mapema ambapo nilikuwa nikiamka, jogoo iliwika na nikaona jua liking’aa juu angani, nilijua ni siku mpya ya furaha. Nilijitayarisha kwa kuenda katika chumba cha kuoga nani ka sitaki uchafu kwa sabuni, ni toka huku ni kiwa msafi kweli kweli. Nilienda katika chumba changu na…