Sifa za hotuba na maana yake.

sifa za hotuba na maana yake.

Ni maelezo yanayaotolewa na mtu mmoja mble ya watu wengi.

male employer gesticulating and explaining idea in light office
Photo by Andrea Piacquadio on Pexels.com

sifa za hotuba.

1.Hotuna hutokwa wakati maalum m.f sherehe, siku ya wazazi.

2.Huwasilishwa kwa nafsi ya kwanza.

3.Majina au vyeo vya walihohudhuria hutajwa kufuatana na cheo.

4.Kuendeleza kwa wakati uliopo.

5.Hotuba inaweza kuwasilishwa kwa niaba ya mwingine.

Vidokezo vya kutilia maanani.

1.Uteusi wa kichwa chenye hoja teshelezi.

2.Utumiaji alama za mtajo mwanzoni na mwishoni mwa insha.

3.Utangulizi wa hotuba ni muhimu uwe bayana.

4.Unaweza kuyadokeza mambo muhimu utakayo yazungumzia.

5.jikite katika maswala muhimu

pekee.

6.Lugha iwe ya ushawishi m.f

 maswali ya balagha, mafumbo, 

vidokezo, methali na udhalika ili 

kuchanganyisha.

7. Lugha na msiamati ufungamane

 na mada husika.

8. Angalia mahitaji ya wasikilizaji wao.

9.Kila hoja inayowasilisha katika hotuba  ni lazima lieleweke kikamilifu.

10.Urefu sharti utiliwe maanani ( Maneno mia nne).

11.Mpangilio wa hoja sharti uwe kwenye mfululizo.

12. Hisia za hadhira ama anayetoa hotuba zisiandikiwe katika hotuba kama:

vicheko, kupiga makofi , vikohozi.

13.Tamati ya hutuba ni muhumu iwe 

na mvuto.

14.Usikose kushukuru hadhira yake 

kwa uvumilifu.

15.Hepuka makosa ya ujahi, sarufi.

16. Hati iwe nadhifu na kubwa 

inayosomea kwa urahisi.

Similar Posts