10 Sifa za nyimbo na umuhimu wake

EVERYTHING ON JUMIA
Sifa za nyimbo



Nyimbo ni maneno yaliyopangwa kumuziki. Kuna kupanda na kushuka sauti katika mapigo.

Sifa za nyimbo.



– Hupanda na kushuka kwa sauti.

– Hutumia lugha ya mkato.

– Inapangilio wasilabi mishororo wa ubeti.

– Ina mapigo ya kimziki.

– Utumiaji wa lugha mzito inayoibua taswira na hisia kama za mapenzi, huzuni na furaha.

– Huandamana na ala za muziki k.m; ngoma, baragumu, msewe, zumari.

– Hufungamana na miktadha mbalimbali kama vile; kazi, haru, juando na nyando.

– Badhii ya vifungu hurudirudiwa – kibwagizo, kitikio au mikarara.

– Huandamana na uchezaji wa viuongo kama vile mabega, kupiga makofi, na mipigo la miguu.



Umuhimu wa nyimbo.

– Hutambulisha jamii k.m ukulima uvuvi n.k.

– Hutoa hisia za moyo.

– Ni njia ya kuhifadhi utamaduni na historia ya jamii.

– Hutunguiza.

– Hupitisha amali au mawaidha.

– Hukuza ubunifu.

– Ni njia kupatia riziki.

– Ni njia ya kukuza talanta.



Aina za nyimbo.

1. Mbolezi – huimbwa katika kati ya kumboleza au matanga.

2. Nyimbo za dini – katika ibada.

3. Nyimbo za vita – husisitiza ushujaa na uzalendo.

4. Mawimbo za mapenzi – huimbika na mpenzi, ulimbwende au usaliti.

5. Bembelezi – huimbiwa kwa watoto kuwafariji au kumbembeleza walale ama waache kulia.



Similar Posts