50 Sms za kuchekesha inayoweza vunja mbavu.
Mambo huwa shwari kama tukiwa na wenzetu ambao wanaweza kutuchekesha wakati wowote. Kwa vile vile maisha yanaweza kuwa magumu na pia tatizo nyingi, ni vizuri ujipe muda upate nafasi ya kucheka ili uwe na furaha.
Na rafiki bora anaweza kuwa na talanta pia ya kukuchekesha ikiwa unahisi uko chini mno. Ila si kila mtu ana talanta hiyo, Ni vizuri watu kujaribu sana kutafuta maneno yanaweza kufanya rafiki yako ajihisi vizuri.
Kama una simu bora, na una marafiki wanao wanakujali maishani ni vizuri ujaribu kuwachekesha hata kama ni kidogo aje. Hapa chini ni maneno hamsini amboa yanaweza kukusaidi kutuma sms kwa wenzako.

Wadada bans utaskia oooh Mimi nataka mwanaume stake nilinda na kunijali…!! Alafu akitongozwa Na mlinzi anakata..!!
Sms za kuchekesha
Mapenzi ni kama swimming pool ucjisumbue kutia nani aliogelea kabla yako, nani mnaogelea naye kwa wakati huo au nani ataoga ukitoka, wewe Enjoy kuogelea tu.
Sms.
Mume akiwa anakupa mizawadi kedekede unasema mahaba lakini kaka yako akifanya hivo kwa mkewe mnasema limbwata hivi mawifi aliewaruhusu kuvuta bhangi ninani?.
Sms za kuchekesha
Kumuacha mpenzi wako kids anachepuka ni sawa nakuhama nchi kisa mvua.. mvua ipo popote komaa nae uyo ni wako tyuu.
Sms za kuchekesha
Umeshawahi saidiwa homework Na mzazi halafu umapata zero?
Hapo ndio unajua shift siyo wewe.
Sms za kuchekesha.
Uliamua Dame pesa, mzazi start hawezi muuliza ametoa wapi lakini mpatie mimba, watakutafuta mpaka Na Google.
Sms za kuchekesha.
Hakuna siku Mbaya kama siku unayopita the ya Manisa halafu unamsikia mchungaji anasimamia ” amini nawaambieni nje Luna sherwani anapita.
Sms za kuchekesha.
Shida ya mwanamke mfupi ukirudi unajua kakufulia vizuri tu. Ila hajaanika.
Sms za kuchekesha
Ukimuona mtu wa kigoma ana kilo 70 ujue mwili una kilo 20, chalet za mwilini kilo 20, unaishi kilo 20 Na uchawi kilo 10
Sms za kuchekesha
Mke :baby nimeota umeninunulia cheni ya dhahabu.
Mume: rudi usingizini ukaivae.
Sms za kuchekesha
Ushawai penda mtu naroho yako yote lakini hataki muonekane pamoja?. hiyo ndio sitautiona yangu na pesa sahii.
Sms za kuchekesha.
Abiria: Dere una overspeed.
Dere: Hakuna kitu si kufanyia huyo dem.
Sms za Kuchekesha.
Undahani umeteseka sana alafu kibogoyo anakukulia dem
Sms za kuchekesha.
Leo lazima utembe na mimi. Nimechoka kufichwa
Sms za Kuchekesha.
Ebu sasa pima hiyo sukari nikiona.
Sms za kuchekesha.
Dufya ni wewe
Sms za kuchekesha.
Ushaiona mtu akona deni yako, church alafu anaenda mbele kutoa tithe.
Sms za kuchekesha.
Missed call kwa kiswahili nini?.
Sms za kuchekesha.
Uko sure opposite ya transparent ni transchildren?.
Sms za kuchekesha.
Mbona yesu alitusave na hatuoni status yake.
Sms za kuchekesha.
Nilikuwa nawambia nikona probox mkaona ni uongo.
Sms za kuchekesha.
Halafu mkue mnanunua unsliced bread ndio mkate.
Sms za kuchekesha.
Nimetuma 130 kwa wrong number nikampigia akasema nisave number yake ntakuwa nikimtumia.
Sma za Kuchekesha.
Ambulance imeisha mafuta, tunaomba mshuke tukimbie.
Sma za kuchekesha.
samahni mgonjwa sindano zetu zimeisha naomba tukundunge kisu.
Sms za kuchekesha.
Ukiwa choo upate huna tissue alafu kachiwawa ka jirani kaingie.
Sms za kuchekesha.
Ukinunua nyama quarter unafungiwa na gazeti ya michezo.
Sms Za kuchekesha.
Siwzezi ambiwa hivo is a word watu wamepigana sana.
Sms za kuchekesha.
Hujui gari za diani zinapandiwa wapi na bado unalala?.
Sms za kuchekesha.
Mwenye alikupea suti anasema utoke kwa jua.
Sms za kuchekesha.
Kama ukitoa hakuna pop sound hiyo ni kikapu yua soko.
Sms za kuchekesha.
“Tutakua pamoja katika shida na raha”amekataa kukula ugali na machungwa.
Sms za kuchekesha.
Unaenda kwa dem yako unannounced Ukiwa na positive vibes alafu unakuta timberland number 12 kwa mlango yako.
Sms za Kuchekesha.
Niliwaji tumia fork na kisu kw reastaurant ndio nisionekane mshamba nilikata viazi viazi vizuri ikaruka kwa counter.
Sms za kuchekesha.
Jina shosh ilikuwa ya watu wa central pekee waluhya endeleeni na kukhu.
Sms za Kuchekesha.
Ikiwa mnono alafu kukuwa na contributions mahali na huna pesa inaonekananga kam ni kukataa unakataa kutoa.
Sms za kuchekesha.
Ndio kutoka facebook kucomment “amen” otherwise ningekufa kesho bana.
Sms za kuchekesha.
Mkamba na mkisii wakiona alafu wakuwa na issues wataanza kurushina powers kama avengers.
Sms za kuchekesha.
Kama huwezi replace simu na one day after kuibiwa, anza kujituma
Sms za kuchekesha.
Ukiwa cluba alafu care taker akutext “Umeamua kuvunja mlango ama ulitupa ufunguo.”
Sms za Kuchekesha.
Asubuhi nilikuwa na punch nikatumia rwabe nikabaki na chwani……ai ebu nianze tena.
Sms za Kuchekesha.
Me to my utensils: wah sa ninani atawaosha?.
Sms za kuchekesha.
Shida yako nikuspend sana. Sasa ulipea huyo dem chwani aje.
Sms za kuchekesha.
Ndio kufika maeneo lazima anipende.
Sms za kuchekesha.
Promise utaniwait december.
sms za kuchekesha.
Nimerealize wewe ndio block. Dream ni kutoka huku sasa.
Sms za kuchekesha.
Ati “nimekupenda venye uko” kwani niko aje?.
Sms za kuchekesha.
Si ni wewe ulichokoza kipofu ukamwambia “Akuguze aone”.
Sms za kuchekesha.
Kwani wewe ni pastor Mackenzie ati hutaki nikule
Sms za kuchekesha.
we shangilia lakini usiniguze.
Sms za kuchekesha.
