Insha ya familia yangu.
Familia yangu inahusu na watu watano. Hawa ni baba,mama,ndugu na Mimi. Jina la baba yangu ni Joseph otieno. Yeye ni mrefu na mwembamba kama sindano. Yeye hufanya kazi Kwa kampuni ya middemb. Yeye hufanya kazi sana ili Mimi na ndugu yangu na dada yangu tupate kula na tupate mavazi.