#Hadithi

red flower on white sand

Hadithi ya mahaba.(story of love.)

Sijui niseme aje, kwamba hii ni ndoto ama tuu ni fikra zangu akilini. Niliota kuwa nilikuwa ndani jijini wa nairobi, watu wakitembea kuenda kivyao hapa nikiwa nimesimama. Sijui sababu langu ya kusimama katika jiji ambapo watuwengi mno na kuwa ukisimama unagongwa, na kupewa macho makali kana kwamba mimi ndo makosa nimefanya.

person in witch costume standing in the middle of the woods

Hadithi fupi ya siku ya mganga.

Ndio walikuwa na bidii za mchwa na walifanya juu chini kufanya zoezi inayofaa. Isikose kochi wao alikuwa Simba. Mkali mno anapongea wachezaji wake wanaogofya. Lakini kochi huy hakuelewa mbona Kila wakati timu yao inashindwa Kila mechi unaofanyika.