Insha ya masimulizi Fungate ya machozi.
Kwa baadhi yetu hatujui maana ya kuwa na masikio. Wengine huyatumia kusikiliza tu huku mioyo yao ikikataa kusikiza. Kwa wengi, kuna wale hawafuati sheria au maneno tu ndogo inayoweza kuwaletea majuto au kifo.
Kwa baadhi yetu hatujui maana ya kuwa na masikio. Wengine huyatumia kusikiliza tu huku mioyo yao ikikataa kusikiza. Kwa wengi, kuna wale hawafuati sheria au maneno tu ndogo inayoweza kuwaletea majuto au kifo.
Kwa maneno ya Mama imeninginia akilini mwangu kila siku nikiwa gerezani pamoja na wenzangu. ” Mtego wa panya huwanasa waliomo na wasiokuwamo.” kila mtu ana hadithi zake hapa na mbona waeshtakiwa kwa mashtaka kwa wengi usiofaa.
Wazee wa kale walikonga na kutembea kwa mkongojo waliamba kuwa aliyee juu mgoje chini. Walikuwa na maana kuwa mtu leo anayejigamba kwa cheo chake leo kesho utampata akiwa ameanguka pu, asipojichunga. Semi hili hututadharisha tusifanye jambo kama hili.
kuna aina mengi za insha kama vile ya masimumilizi, Barua, mahojiano, majidiliano na mengineyo. lakini leo tuna mafano moja wa insha ya mawazo ila utungo wake ni toufauti na mengine. Insha huu ina utungo ambao huandikwa kutokana na kuwaza kwa kina kwa mandishi.
Ukiwa na bidii za mchwa mungu hawezi kosa kubariki kwa yale kazi unaofanya. ” hadithi, hadithi ?.” mzee nazim aliuliza. Tukajaibu ” hadithi njoo.” Mzee nazim amekuwa mzee wa mali na pia wa heshima.
Maisha yalikuwa tamu mno. Mwisho wa mwaka 2019 mambo katika nchini ilikuwa sabamba. Biashara ilikuwa ikiendelea vizuri, pesa haikuwa shida kupata. Mimi ni mwanafunzi katika shuleni kuu ya kenyatta. Nasomea udaktari, ili niweze kusaidia kutibu watu wagonjwa katika jamii yangu na pia kupata pesa kusaidia familia yangu.
Kukopolewa na siku za mwanzo za uhai wangu ni mambo yaliyotokea mfano wa kitendawili au hii hoja ambacho wakunga na wakungazi wa hospitali ya pumwani wavumilia kwa siku na miaka. Husisimuwa kuwa siku na miaka nilpowa kijusi nilitoka kutoka sio kwamba nilikuwa mgonjwa. Daktari alisema ilimbidi mama alikuwa buheri wa afya ili nilipani ktika tu.
Naam!, Wakale hawakunona walipologa kuwa mchumia juani hutia kivulini. Hii ni methali iliyotumika kukaahifu wanajamii dhidi ya kutia bidii za mchwa Kwa kika ufanyalo.
Naam ukweli usemwe. Heri kupata kidogo kidogo kila siku kuliko kingi siku moja. katika kitongoji cha amani paliondokea mzee moja aliyekuwa na wana wawili. Wanahao walimsumbua kila kucha kuwa walitaka mali yao.
Kisa kimoja nkimetokea katika kijiji cha umoja ambapo jizee la miaka themanini aligeuaka na kuwa hayawani alipo mgeukia mjukuu wake na kumchinja huku kisa na maana alichukua manati yake na kwenda kuwinda. Kweli huu ni ungwana ?.mbona tuwe waja wenye hasira za mkizi?.