Insha ya teknolojia.
Teknolojia imeleta vitu vipya kama simu,Tarakilishi na vinginevyo. Teknolojia imesaidia kila mtu na kila mahali. Vitabu sana, maisha hayakuwa rahisi. Watu walikuwa wakitembea Kwa miguu wakienda kusafiri mbali sana. Pia walikuwa wanatembea Kwa miguu tupu kila mahali. Watoto sana sana kusoma , walisoma Kwa shule zilizoporomika au Haina mjengo wowote