Insha ya Siku yangu ya kwanza katika shule ya upili.

Insha ya Siku yangu ya kwanza katika shule ya upili.

Siku yangu ya kwanza katika shule ya upili. Ilikuwa asubuhi ya mapema ambapo nilikuwa nikiamka, jogoo iliwika na nikaona jua liking’aa juu angani, nilijua ni siku mpya ya furaha. Nilijitayarisha kwa kuenda katika chumba cha kuoga nani ka sitaki uchafu kwa sabuni, ni toka huku ni kiwa msafi kweli kweli. Nilienda katika chumba changu na…

Insha fupi ya ndoto isiyostajika

Insha fupi ya ndoto isiyostajika

Nilikuwa nimekwisha kujitajarisha kwenda kulala mlango ulipobishwa, nilishtuka na kuketi sakafuni ni kwaza nani aliyekuwa alibisha mlango saa saba unusu usiku. Mtu huyo alibisha kwa nguvu huku akileta jina langu inijaribu kutambua sauti ila lakini wapi. Tulikuwa nyumbani na dada yangu na kaka yangu lakini wao walitwa washalala. Nilifikiria ni waamshe lakini sitawaamsha. Mlango uliendelea…

Insha kuhusu elimu.

Insha kuhusu elimu.

Nyumbani ndiyo mahali pa kwanza pa elimu ambapo wazazi ndio walimu wa kwanza katika maisha ya kila mtu. Katika utotoni wetu, tunapata taswira ya kwanza ya elimu kutoka nyumbani, hasa kutoka kwa mama yetu. Wazazi wetu hutufahamisha umuhimu wa elimu bora katika maisha. Tunapofikisha umri wa miaka mitatu au minne, tunapelekwa shuleni kwa ajili ya…

insha kuhusu umuhimu wa miti.

insha kuhusu umuhimu wa miti.

Miti ni rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu na pia mazingira. Na ni muhimu sana tuwe tunajua umhimu na faida tunayopat tukiweza kuayatunza miti zetu kayika maishani mwetu na pia imchi yetu. Juzi vingozi wa dunia walikuwa wapatane kuongelea maneno mingi kuhusu shida za kawaidia wanapitia na kutafuta suluhisho, kwa changa moto kama hizi moja…