Insha ya mahojiano Kati ya meneja wa kampuni na mtu anayeomba kazi.

Insha ya mahojiano Kati ya meneja wa kampuni na mtu anayeomba kazi.

Insha ya mahojiano kati ya meneja wa kampuni na mtu anayeomba kazi. Meneja: Karibu ndani. Hujamnbo? Mwajiriwa: Asante. Sijambo. Meneja: Unaitwa nani? Mwajiriwa: Hassan Ali. Meneja: Kutoka wapi? Mwajiriwa: Kutika muranga. Meneja: ( Huku akisimama) ningependa kukutembeza huku ili ukujue sawsawa. Mwajiriwa: (Akisimama kwa kutabasamu) anamuuliza meneja mengi kuhusu kampuni hiyo. Meneja: (Akiashiria) hapa ndipo…