Methali na aina sita za methali.Methali ni kifungu cha maneno chenye maana fiche msaru imefichika kwa utumi wa tamathali na istiari.
Tag: #kcse

Insha ya harusi. Tuliamka alfajiri yamajogoo tayari kwa safari tuliyoingojea kwa siku nyingi. Tulijitayarisha kwa haraka ili tusichelewe kuenda kumlaki dada yangu katika eneo la

Ndoto isiyotajika insha mfano. Nilikuwa nimekwisha kujitajarisha kwenda kulala mlango ulipobishwa, nilishtuka na kuketi sakafuni ni kwaza nani aliyekuwa alibisha mlango saa saba unusu usiku.

Mkasa wa moto kijijini. Ulikuwa usiku wa manane niliposkia usemi wa buka uliotoka kwa jirani kadri kilomita mbili kutoka nyumbani kwetu. Kweli nilikuwa katika gonezi

mfano wa Insha ya nukulishi

uhali gani? Pokea salamu kemkem kutoka kwa familia yako. Wote wanatumai u buheri wa afya. Sisi hapa nyumbani tu wazima kama kigogo. Kila mmoja ana hamu ya kukuona lakini uko mbali na sisi kwa hivyo hilo haliwezekani hata. Natumai unaendelea vyema huku tukikuombea kwa mola akujalie wakati mwema huko kuliko. Natumai pia kazi yako yaendelea vyema.

Mgagaa na upwa hali wali mkavu. Methali hii ina maana kuwa mtu anayejikaza kisabuni hakosi alichokitarajia mtu anapojitahidi katika jambo fulani huwa anapata mazao yake baada ya muda mfupi tu au baada ya muda usiotarajia. Hutumiwa kuhimiza aidha mwanafunzi ilil kutia bidii katika masomo yake ili kufanikiwa.

Insha ya kumbumbu za mkutano wa pili wa mwaka.
Insha ya kumbukumbu za mkutano wa pili wa mwaka ambapo tutajadili ajenda zifutazao usajili wa wanachama wapya kuamrisha uzungumzaji wa kiswahili shulenina kongamano la kiswahili. Tarehe 7 Januari kuanzia saa nne jioni.
Waliohudhuria.
Bw. Morris Nzomo – Mwenyekiti.
BI. Grace fahari – Naibu wa mwenyekiti.
BI. Stacey mwende – Mwekahazia.
BI. Pius mwendwa – Katibu.
BW. Dennoh musyoki – mwanakamati.
Waliotuma udhuru.
BW. John mwanzi – Mwanachama.
BW. Patricia kimkungut – Mwanachama.
BW. Peter Nzoki – Mwanachama.
Waliokosa kuhudhuria.
BW. Noah joel – Mwanachama.
BI. Alice samson – mwanachama.
Katika mahudhuria.
Prof . Dennoh victor – Afisa katika wizara ya elimu shuleni.
AJENDA.
Usajili wa wanachama wapya.
Kuamazisha uzungumuzaji la kiswahili shuleni kongamano la kiswahili.
WASILISHO KUTOKA KWA MWENYEKITI.
Mkutano ulianza saa nne kwa maombi yalioongoza na BW. Dennoh musyoki. Mwenyekiti aliwakaribisha waliohudhuria na kuwashukuru kwa bidii walionyesha.
KUMB: 7: 2021 USAJILI WA MWANACHAMA WAPYA.
Katibu aliwafahamisha wanachama kuwa tuko na usajili wa wanachama wapya ambapo wenye walikuwa walieza kuenda kwao na kusema wanachama wachaguliwe wengine.
KUMB: 8: 2021 KUAMAZISHA UZUNGUMZAJI WA KISWAHILI SHULENI.
Wanachama wanakubaliana kuwa wanafunzi wakuwe wanazungumza lugha ya kitaifa ambayo ni kiswahili kwa sababu wamezoea kuongea kiingereza mpaka wakasahau kiswahili.
KUMB: 9: 2021 KONGAMANO LA KISWAHILI.
Wanachama wanaarisha wanafunzi wasikuwe wanaongea kiswahili kila siku lakini wanaeza tegewa siku moja tu maalumu ya kuongea kiswahili.
KUFUNGA MKUTANO.
Mkutano ulifungwa kwa maombi yaliyongozwa na BW. Pius mwendwa saa tisa jioni.
THIBITISHO.
Sahihi Tarehe.
Mwenyekiti : 7 Januari 2021
Katibu : 7 Januari 2021