sheria ni msumeno, hukata mbele na nyuma insha.
Kwa maneno ya Mama imeninginia akilini mwangu kila siku nikiwa gerezani pamoja na wenzangu. ” Mtego wa panya huwanasa waliomo na wasiokuwamo.” kila mtu ana hadithi zake hapa na mbona waeshtakiwa kwa mashtaka kwa wengi usiofaa.