Insha ya siku za mwizi ni arobaini.
Siyawezi kusahau kile tulichofanya mimi na wenzangu. Nilikijuwa na huzuni mno kwani kile nimepitia ni maisha magumu mno. Ningaliskia nisingalifungwa maishani katika gerezani hii. Niliomba mungu msamaha kwa kosa nilichofanya.