Insha ya Siku yangu ya kwanza katika shule ya upili.

Insha ya Siku yangu ya kwanza katika shule ya upili.

Siku yangu ya kwanza katika shule ya upili. Ilikuwa asubuhi ya mapema ambapo nilikuwa nikiamka, jogoo iliwika na nikaona jua liking’aa juu angani, nilijua ni siku mpya ya furaha. Nilijitayarisha kwa kuenda katika chumba cha kuoga nani ka sitaki uchafu kwa sabuni, ni toka huku ni kiwa msafi kweli kweli. Nilienda katika chumba changu na…

Insha fupi ya mkasa wa moto kijijini

Insha fupi ya mkasa wa moto kijijini

Mkasa wa moto kijijini. Ulikuwa usiku wa manane niliposkia usemi wa buka uliotoka kwa jirani kadri kilomita mbili kutoka nyumbani kwetu. Kweli nilikuwa katika gonezi ya ajabu kwani singeskia kitu chochote kile. Hii ilikuwa nadra sana kama maziwa ya kuku ama mizizi ya mawe. Bayana nilikuwa nimechoka kutokana na kazi niliyoifanya siku hiyo. Kwanza nilikejeli…

Insha fupi ya ndoto isiyostajika

Insha fupi ya ndoto isiyostajika

Nilikuwa nimekwisha kujitajarisha kwenda kulala mlango ulipobishwa, nilishtuka na kuketi sakafuni ni kwaza nani aliyekuwa alibisha mlango saa saba unusu usiku. Mtu huyo alibisha kwa nguvu huku akileta jina langu inijaribu kutambua sauti ila lakini wapi. Tulikuwa nyumbani na dada yangu na kaka yangu lakini wao walitwa washalala. Nilifikiria ni waamshe lakini sitawaamsha. Mlango uliendelea…

Insha ya harusi

Insha ya harusi

Insha ya harusi. Tuliamka alfajiri yamajogoo tayari kwa safari tuliyoingojea kwa siku nyingi. Tulijitayarisha kwa haraka ili tusichelewe kuenda kumlaki dada yangu katika eneo la harusi katika mbio mbio za sakafuni, tulipatana na wenzetu njiani, tulichukua gari na kuondoka. Tulikuwa karibu kuwasili eneo la harusi yenye ilikuwa katika kanisa la shauri moyo Adventist church ambayo…

insha kuhusu umuhimu wa miti.

insha kuhusu umuhimu wa miti.

Miti ni rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu na pia mazingira. Na ni muhimu sana tuwe tunajua umhimu na faida tunayopat tukiweza kuayatunza miti zetu kayika maishani mwetu na pia imchi yetu. Juzi vingozi wa dunia walikuwa wapatane kuongelea maneno mingi kuhusu shida za kawaidia wanapitia na kutafuta suluhisho, kwa changa moto kama hizi moja…