Hadithi ya mahaba.(story of love.)
Sijui niseme aje, kwamba hii ni ndoto ama tuu ni fikra zangu akilini. Niliota kuwa nilikuwa ndani jijini wa nairobi, watu wakitembea kuenda kivyao hapa nikiwa nimesimama. Sijui sababu langu ya kusimama katika jiji ambapo watuwengi mno na kuwa ukisimama unagongwa, na kupewa macho makali kana kwamba mimi ndo makosa nimefanya.