Insha ya taarifa.
Kisa kimoja nkimetokea katika kijiji cha umoja ambapo jizee la miaka themanini aligeuaka na kuwa hayawani alipo mgeukia mjukuu wake na kumchinja huku kisa na maana alichukua manati yake na kwenda kuwinda. Kweli huu ni ungwana ?.mbona tuwe waja wenye hasira za mkizi?.